WANA HIP HOP NINAOWAKUBALI TANZANIA!

Sipendi kuwa mnafiki kuwasifu hawa watu kabla hawajafa,uwezo wao kiuandishi umenifanya niseme ni Best MCees East Africa na Afrika kwa ujumla.Hawa ni bora kwangu na nyimbo zao ambazo hazifutiki kichwani mwangu.
(mpangilio hauna maana)
  1. Nikki Mbishi-Kijusi
  2. Fid Q-Propaganda
  3. Prof J-Nang'atuka
  4. Albert Mangwea-Maskini wenzangu
  5. Nash MC-Kaka Suma
  6. ONE-Incredible
  7. Stereo-Rafiki
  8. Malle-Kawaambie madogo
  9. P the MC-Huna jipya
  10. Joh Makini-Sijutii
  11. Ghetto Abasador
  12. Songa
  13. Young Killer
  14. Afande Sele
  15. Roma                     
  16. JCB
  17. Stamina
  18. Darasa
  19. Langa
  20. Mapacha

0 comments: