YOUNG KILLER AJIPANGA UPYA

NI msanii mwenye umri mdogo,ila ameweza kufanya muziki ambao umeweza kuwavutia wengi hasa vijana ambao wanapenda muziki wa hip hop.
Young Killer  Msodoki,ambae kwa sasa anatamba na ngoma yake aliyofanya na Stamina pamoja na Quick Rocka ngoma ni jana na leo.Pia kwasasa yupo katika mipango ya kufanya video hiyo.
Akipiga story alisema.’’Ujio wangu mpya utazidi kiniweka juu,kwani watu ambao nimefa nya nao kazi ni watu hatari sana,fikiria ngoma hii atakuwa Belle 9 halafu pembeni Ben Paul lazima ishangaze hii,kwasasa siwezi kusema ngoma itaitwa vipi ila nikiachia ntasema tu producer wangu ni yule yule Gud mona.watu wajipange zaidi ya jana na leo’’

0 comments: