TAARIFA ZILIZOTUFIKIA: MWANDISHI WA ITV APIGWA RISASI.
Mtu 1 amempiga risasi na kumjeruhi mwandishi wa ITV/radio One Ufoo Saro,kisha kumpiga risasi na kumuua papo hapo mama yake mzazi Ufoo,na baadaye yeye mwenye kujiua baada ya kutekeleza adhama yake hiyo huko Kibamba jijini DSM.
0 comments: