VOTE FOR JOH MAKER (MSANII BORA CHIPUKIZI) KILIMANJARO MUSIC AWARD 2014.
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/t1/1656200_489934874462422_1715080093_n.jpg)
HATUA ZA KUZINGATIA
- Chukua simu yako
- Ingia kwenye uwanja wa Messege
- Andika neno: 23JOH MAKER
- Kisha utume kwenda namba: 15440
Mnyaa ataka bunge livunjwe
Mbunge
wa Mkanyageni (CUF), Mohammed Habib Mnyaa, ameshauri Mkutano wa Bunge
Maalumu la Katiba unaoendelea uahirishwe kwa mwezi mmoja au miwili.
![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_vQpmi1aJEja0t_8gWsOkZrPz7eV7SQczpKUbEJqXvos4Yj0qnJ10z8zF37DJuOsLjYxNa8-KNVxguRjamMdhOqkIwqYwE1EUCQ_mT5pd4fym8Sl4LeXkG6iIFdIHMH9qvzJhwE5c5c5WLYOQ=s0-d)
Amesema hilo litasaidia kuepusha uvunjifu wa amani unaoweza kutokea nchini kutokana na mivutano iliyokithiri ndani ya Bunge hilo, ambayo hatima yake haitabiriki.
Learn more »
Amesema hilo litasaidia kuepusha uvunjifu wa amani unaoweza kutokea nchini kutokana na mivutano iliyokithiri ndani ya Bunge hilo, ambayo hatima yake haitabiriki.
Learn more »
Ajira za walimu 36,000 kumwagwa mwezi huu
Serikali
imetangaza kuwajiri walimu wapya 36,071 mwaka huu ambao majina yao
yanatarajia kutangazwa katikati ya mwezi huu (Machi) na watatakiwa
kwenda kuripoti katika vituo vyao vya kazi Aprili mosi mwaka huu.
![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_vVV2Fsae_QTf8ViW1EyhZtYULGkTjc0iY2Qz2P7ksa1bkEE3hphINbmARvS4kvoQ6KXTZvt6890ofYIHz8Sa_IvI_qmjBF2XWuJSRR29ae-w3VpG8SMH9JveYrY8SbtbAJ_E2QCyDW=s0-d)
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim Majaliwa, aliyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Kumepambazuka jana kinachorushwa na Radio One.
Learn more »
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim Majaliwa, aliyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Kumepambazuka jana kinachorushwa na Radio One.
Learn more »
Kura ya ndiyo, siri bado mwiba bungeni
Bunge
Maalum la Katiba limeendelea kugawanyika kutokana na wajumbe
kutoafikiana kuhusu utaratibu wa kupitisha vifungu vya Rasimu ya Kanuni
za Bunge hilo, huku Mwenyekiti wa Muda, Pandu Ameir Kificho, akitaka
rasimu hiyo ipitishwe kwa kuhojiwa kwa uwazi wanaosema ‘ndiyo au hapa.’
![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_ufs4V2TerNPNuvQ7Xqsi-DGtNvd6B7F7cxPp4SjqWUslsyJP9nw1LMJY8mOithE87afBpb2UCtluJYejmHmJGEZgT_hNT-fbvAfsiXO8BU1ftRo2h-FuPslGgDRYtbvZltsk7fEXv4Q7muEbJrAIo=s0-d)
Hali hiyo ilianza kujitokeza jana asubuhi baada ya Kificho kuwaeleza wajumbe kuhusu utaratibu utakaotumika kuboresha Rasimu ya Kanuni hiyo.
Learn more »
Hali hiyo ilianza kujitokeza jana asubuhi baada ya Kificho kuwaeleza wajumbe kuhusu utaratibu utakaotumika kuboresha Rasimu ya Kanuni hiyo.
Learn more »
Rapper MTANZAHURU.......atambulisha track yake
MZAWA is baccccckkkkkkkkk
Subscribe to:
Posts (Atom)
Copyright © 2013 MZAWA
0 comments: