MZAWA IMERUDI TENA HEWANI tena baada ya kimya kirefu
MZAWA IMERUDI TENA HEWANI
kutokana na matatizo ya kiufundi tuliweza kupotea hewani ila sasa tumerudi tena
Pichani ni Mwanzilishi wa Mzawa Inc alipokuwa akisherehekea kuhitimu shahada
yake ya kwanza ya SAYANSI KATIKA HISABATI NA TAKWIMU
Alipohojiwa alisema " sasa tumerudi kazini tena kwa mala nyingine changamoto zilikua ni nyingi zikiwemo masomo pia ila tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa nguzu za kuelimisha kizazi chake "
kutokana na matatizo ya kiufundi tuliweza kupotea hewani ila sasa tumerudi tena
Pichani ni Mwanzilishi wa Mzawa Inc alipokuwa akisherehekea kuhitimu shahada
yake ya kwanza ya SAYANSI KATIKA HISABATI NA TAKWIMU
Alipohojiwa alisema " sasa tumerudi kazini tena kwa mala nyingine changamoto zilikua ni nyingi zikiwemo masomo pia ila tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa nguzu za kuelimisha kizazi chake "
sawa mzawa nakubali,safar inaanza tena. kama kawa
ReplyDeletehahahahahahahaa
Delete