JK awapa vidonge Museveni,Kagame, Uhuru Kenyatta

  Atoboa kisa kisa cha Tanzania kutengwa
  Asema ni shirikisho, ardhi, ajira na uhamiaji
Rais Jakaya Kikwete, akilihutubia Bunge mjini Dodoma jana. Kulia ni Spika wa Bunge, Anne
Learn more »

0 comments:

Sumaye aanza `vita` yawazi dhidi ya Lowassa

  Adai anachafua wengine akilenga urais wa 2015
  Asema ametoa siri za baraza la mawaziri, ashitakiwe
Learn more »

0 comments:

Sugu kuwasilisha muswada binafsi

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr. Sugu, anakusudia kuwasilisha kwa hati ya dharura muswada binafsi wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 wenye lengo la kurekebisha kifungu cha 25 cha sheria hiyo kinachotumiwa vibaya na mawaziri kufungia/kusitisha uchapishaji wa magazeti.
Learn more »

0 comments:

Watahiniwa 32 wazuiwa kufanya mtihani

Watahiniwa 32 katika Shule ya Sekondari Kulio iliyopo wilayani Chemba mkoani Dodoma wamezuiliwa kufanya mtihani wa kidato cha nne kwa sababu siyo wanafunzi halali.

Learn more »

0 comments:

Serikali yarudisha daraja sifuri

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imebatilisha uamuzi wake wa kubadili mfumo wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa mitihani ya kidato cha nne kama ilivyotolewa awali kwa kurudisha daraja sifuri.
Learn more »

0 comments:

Sengondo Mvungi apigwa mapanga

Mjumbe  wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi, amelazwa katika Kitengo cha Uangalizi Maalumu (ICU) Taasisi ya Mifupa (Moi) kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kushambuliwa kwa mapanga na watu wanaoaminika kuwa ni vibaka.
Learn more »

0 comments:

CCM sasa yawaonya wanaoanza kuwapigia `debe` wanaofaa urais

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa onyo kwa wanachama wake wakiwamo wabunge ambao wameanza tabia ya kutangaza kuwa wangependa viongozi fulani wagombee urais bila kufahamu kuwa kufanya hivyo kutaleta mgawanyiko ndani ya Chama.
Learn more »

0 comments:

MATOKEO DARASA LA SABA

click link hapa

1 comments: