YALIYOJIRI ULIMWENGUNI.

PICHA YA SIKU

Vijana wa MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY  na msuli mbavu nene  (Picha kwa hisani ya Bendu Ze Baba Harusi)
Learn more »

AKAMATWA KWA KUMTUKANA MH RAIS MAGUFULI MTANDAONI (FACEBOOK)

Image result for magufuli

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha, limemkamata Isaack Habakuk Emily, kwa kosa la kumtukana Rais John Magufuli na kwamba hawezi fananishwa na Nyerere na kusambaza ujumbe kwenye mitandao ya kijamii.

mtuhumiwa huyo alikamatwa Machi 22 mwaka huu eneo la Hotel ya Anex jijini humo

baada ya kutuma ujumbe huo uliwaudhi watu wengi waliopokea ujumbe huo na kuwakwaza, hali iliyosababisha kupeleka malalamiko yao Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka hiyo ilitoa taarifa polisi na hatua za kisheria zilianza kuchukuliwa.

 NB: Tutumie vema mitandao si kuchafuana na kudhalilishana si vema Tuwaheshimu viongozi wetu hata kama kuna ujumbe tunataka kuwafikishia tuzingatie lugha thabiti na si lugha chafu!!!!!!!

 

Learn more »

MZAWA IMERUDI TENA HEWANI tena baada ya kimya kirefu

MZAWA IMERUDI TENA HEWANI
kutokana na matatizo ya kiufundi tuliweza kupotea hewani ila sasa tumerudi tena
Pichani ni Mwanzilishi wa Mzawa Inc alipokuwa akisherehekea kuhitimu shahada
yake ya kwanza ya SAYANSI KATIKA HISABATI NA TAKWIMU
Alipohojiwa alisema " sasa tumerudi kazini tena kwa mala nyingine changamoto zilikua ni nyingi zikiwemo masomo pia ila tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa nguzu za kuelimisha kizazi chake "

Learn more »

(Audio) B.o.T Mtanzahuru - Asante

Learn more »

BEST NEW TRACK KUTOKA KWA RAPPER CHIPUKIZI (B.O.T MTANZAHURU - TANZANIA HURU)


<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=nri4imj0j30g" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="197px"></iframe>
Learn more »

VOTE FOR JOH MAKER (MSANII BORA CHIPUKIZI) KILIMANJARO MUSIC AWARD 2014.


HATUA ZA KUZINGATIA
  1. Chukua simu yako
  2. Ingia kwenye uwanja wa Messege
  3. Andika neno: 23JOH MAKER
  4. Kisha utume kwenda namba: 15440

Learn more »

Mnyaa ataka bunge livunjwe

Mbunge wa Mkanyageni (CUF), Mohammed Habib Mnyaa, ameshauri Mkutano wa Bunge Maalumu la Katiba unaoendelea uahirishwe kwa mwezi mmoja au miwili.


Amesema hilo litasaidia kuepusha uvunjifu wa amani unaoweza kutokea nchini kutokana na mivutano iliyokithiri ndani ya Bunge hilo, ambayo hatima yake haitabiriki.
Learn more »