Yanga sikio la kufa
Mabingwa
Yanga waliendeleza mwanzo mbaya wa msimu wakati walipokumbana na kipigo
cha magoli 3-2 kutoka kwa Azam FC kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es
Salaam jana.
Matokeo hayo yaliwaacha Yanga wakiwa na pointi 6 baada ya mechi tano, wakitoka sare tatu mfululizo kabla ya kipigo cha jana.
Learn more »
Matokeo hayo yaliwaacha Yanga wakiwa na pointi 6 baada ya mechi tano, wakitoka sare tatu mfululizo kabla ya kipigo cha jana.
Learn more »
0 comments: